 Mkurugenzi
 Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akizungumza leo 
jijini Dar es Salaam katika hafla ya kukabidhiana magari tisa yenye 
thamani ya Shillingi Millioni mia nane na kumi kutoka Shirika la ICAP 
Tanzania kwa ajili ya Utafiti wa Viashiria na Matokeo ya UKIMWI Tanzania
 utakaofanyika nchi nzima kuanzia mwezi Septemba, 2016. Kushoto kwake ni
 Claud Kumalija mwakilishi wa katibu Mkuu wa Wizara Afya, Maendeleo ya 
Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.
Mkurugenzi
 Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akizungumza leo 
jijini Dar es Salaam katika hafla ya kukabidhiana magari tisa yenye 
thamani ya Shillingi Millioni mia nane na kumi kutoka Shirika la ICAP 
Tanzania kwa ajili ya Utafiti wa Viashiria na Matokeo ya UKIMWI Tanzania
 utakaofanyika nchi nzima kuanzia mwezi Septemba, 2016. Kushoto kwake ni
 Claud Kumalija mwakilishi wa katibu Mkuu wa Wizara Afya, Maendeleo ya 
Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. 
  Mwenyekiti
 wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS), Dkt. Fatuma Mrisho akizungumza 
leo jijini Dar es Salaam katika hafla ya kukabidhiana magari tisa yenye 
thamani ya Shillingi Millioni mia nane na kumi kati ya Ofisi ya Taifa ya
 Takwimu na Shirika la ICAP Tanzania kwa ajili ya Utafiti wa Viashiria 
na Matokeo ya UKIMWI Tanzania utakaofanyika nchi nzima kuanzia mwezi 
Septemba, 2016. Kushoto kwake ni Claud Kumalija mwakilishi wa katibu 
Mkuu wa Wizara Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na 
kulia kwake ni Dkt. Michelle Roland Mkurugenzi Mkaazi wa Taasisi ya 
Marekani ya Kudhibiti Magonjwa – (Centre for Disease Control and 
Prevention – CDC).
Mwenyekiti
 wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS), Dkt. Fatuma Mrisho akizungumza 
leo jijini Dar es Salaam katika hafla ya kukabidhiana magari tisa yenye 
thamani ya Shillingi Millioni mia nane na kumi kati ya Ofisi ya Taifa ya
 Takwimu na Shirika la ICAP Tanzania kwa ajili ya Utafiti wa Viashiria 
na Matokeo ya UKIMWI Tanzania utakaofanyika nchi nzima kuanzia mwezi 
Septemba, 2016. Kushoto kwake ni Claud Kumalija mwakilishi wa katibu 
Mkuu wa Wizara Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na 
kulia kwake ni Dkt. Michelle Roland Mkurugenzi Mkaazi wa Taasisi ya 
Marekani ya Kudhibiti Magonjwa – (Centre for Disease Control and 
Prevention – CDC). 
  Mkurugenzi
 Mkaazi wa Shirika wa Taasisi ya Marekani ya Kudhibiti Magonjwa – 
(Centre for Disease Control and Prevention – CDC) Dkt. Michelle Roland 
akikata utepe kuashiria kukabidhi rasmi magari tisa yenye thamani ya 
Shillingi Millioni mia nane na kumi kwa Ofisi ya Taifa ya Takwimu kwa 
ajili ya Utafiti wa Viashiria na Matokeo ya UKIMWI Tanzania 
utakaofanyika nchi nzima kuanzia mwezi Septemba, 2016.
Mkurugenzi
 Mkaazi wa Shirika wa Taasisi ya Marekani ya Kudhibiti Magonjwa – 
(Centre for Disease Control and Prevention – CDC) Dkt. Michelle Roland 
akikata utepe kuashiria kukabidhi rasmi magari tisa yenye thamani ya 
Shillingi Millioni mia nane na kumi kwa Ofisi ya Taifa ya Takwimu kwa 
ajili ya Utafiti wa Viashiria na Matokeo ya UKIMWI Tanzania 
utakaofanyika nchi nzima kuanzia mwezi Septemba, 2016. 
  Mkurugenzi
 Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa pamoja na 
mwakilishi wa katibu Mkuu wa Wizara Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, 
Wazee na Watoto Claud Kumalija wakionyesha ufunguo wa gari mbele ya 
waandishi wa habari na wageni waalikwa kuashiria kupokea magari tisa 
yaliyotolewa na Shirika la ICAP Tanzania kwa ajili ya Utafiti wa 
Viashiria na Matokeo ya UKIMWI Tanzania utakaofanyika nchi nzima kuanzia
 mwezi Septemba, 2016.
Mkurugenzi
 Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa pamoja na 
mwakilishi wa katibu Mkuu wa Wizara Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, 
Wazee na Watoto Claud Kumalija wakionyesha ufunguo wa gari mbele ya 
waandishi wa habari na wageni waalikwa kuashiria kupokea magari tisa 
yaliyotolewa na Shirika la ICAP Tanzania kwa ajili ya Utafiti wa 
Viashiria na Matokeo ya UKIMWI Tanzania utakaofanyika nchi nzima kuanzia
 mwezi Septemba, 2016. 
  Mkurugenzi
 Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akiwasha gari kama 
ishara ya kupokea magari tisa yenye thamani ya Shillingi Millioni mia 
nane na kumi kutoka Shirika la ICAP Tanzania kwa ajili ya Utafiti wa 
Viashiria na Matokeo ya UKIMWI Tanzania utakaofanyika nchi nzima kuanzia
 mwezi Septemba, 2016. Hafla ya makabidhiano ya magari hayo imefanyika 
leo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi
 Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akiwasha gari kama 
ishara ya kupokea magari tisa yenye thamani ya Shillingi Millioni mia 
nane na kumi kutoka Shirika la ICAP Tanzania kwa ajili ya Utafiti wa 
Viashiria na Matokeo ya UKIMWI Tanzania utakaofanyika nchi nzima kuanzia
 mwezi Septemba, 2016. Hafla ya makabidhiano ya magari hayo imefanyika 
leo jijini Dar es Salaam. 
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni