RAIS DKT. MAGUFULI AWAAPISHA WAKUU WA MIKOA WATATU IKULU JIJINI DAR ES SALAAM NA KUKUTANA NA MWENYEKITI WA GATES FOUNDATION MELINDA GATES
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Dkt. Binilith Satano Mahenge kuwa mkuu wa mkoa wa Ruvuma Ikulu jijini 
Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Dkt. Charles Mlingwa kuwa mkuu wa mkoa wa Mara Ikulu jijini Dar es 
Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Zainab Telack kuwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga Ikulu jijini Dar es 
Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa 
katika picha ya pamoja na baadhi ya  Wakuu wapya wa Wilaya mara baada ya
 kuwaapisha wakuu wapya watatu wa Mkoa Ikulu jijini Dar es Salaam. 
Wengine katika picha ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan watatu kutoka
 kushoto, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa watatu kutoka kulia na Katibu Mkuu
 Kiongozi Balozi John Kijazi wakwanza kushoto.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
 na Wakuu wa mikoa pamoja na Wakuu wa Wilaya wateule mara baada ya 
kumaliza kuwaapisha wakuu wa mikoa ya Shinyanga, Mara na Ruvuma Ikulu 
jijini Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
 na Wakuu wa mikoa pamoja na Wakuu wa Wilaya wateule mara baada ya 
kumaliza kuwaapisha wakuu wa mikoa ya Shinyanga, Mara na Ruvuma Ikulu 
jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Wakuu wa Wilaya wateule  wakila kiapo cha uadilifu Ikulu jijini Dar es Salaam. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Mwenyekiti wa Gates Foundation Bi. Melinda Gates Ikulu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanya mazungumzo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Gates Foundation Bi. Melinda Gates watatu kutoka kushoto mara baada ya kumaliza mazungumzo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mwenyekiti wa Gates Foundation Bi. Melinda Gates mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam.PICHA NA IKULU
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni