GAZET LA MTANZANIA LA ZINDUA MWEONEKA MPYA “MTANZANIA LIMEBORESHWA
Mhariri
Mtendaji wa Kampuni ya New Habari (2006)Ltd, Absalom Kibanda,
akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu uzinduzi wa
mwonekano mpya wa Gazeti la Mtanzania lenye kauli mbiu ya “Mtanzania
Limeboreshwa”.Kulia ni Mhariri Mtendaji wa Mtanzania, Dennis Msacky na
Meneja Masoko wa kampuni hiyo.
Mhariri
wa Gazeti la Mtanzania, Dennis Msacky.akizungumza na waandishi wa
habari Dar es Salaam jana. kuhusu uzinduzi wa mwonekano mpya wa Gazeti
la Mtanzania lenye kauli mbiu ya “Mtanzania Limeboreshwa”Katikati ni
Mhariri Mtendaji Kampuni ya New Habari(2006)Ltd, Absalom Kibanda na
Meneja Masoko wa Kampuni hiyo, Michael Bugidira.
Picha na Mpiga Picha Wetu
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni