GAZET LA MTANZANIA LA ZINDUA MWEONEKA MPYA “MTANZANIA LIMEBORESHWA
Mhariri
 Mtendaji wa Kampuni ya New Habari (2006)Ltd, Absalom Kibanda, 
akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu uzinduzi wa
 mwonekano mpya wa Gazeti la Mtanzania lenye kauli mbiu ya “Mtanzania 
Limeboreshwa”.Kulia ni Mhariri Mtendaji wa  Mtanzania, Dennis Msacky na 
Meneja Masoko wa kampuni hiyo.
Mhariri
 wa Gazeti la Mtanzania, Dennis Msacky.akizungumza na waandishi wa 
habari Dar es Salaam jana. kuhusu uzinduzi wa mwonekano mpya wa Gazeti 
la Mtanzania lenye kauli mbiu ya “Mtanzania Limeboreshwa”Katikati ni 
Mhariri Mtendaji Kampuni ya New Habari(2006)Ltd, Absalom Kibanda na 
Meneja Masoko wa Kampuni hiyo, Michael Bugidira.
Picha na Mpiga Picha Wetu
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni