Alhamisi, 23 Juni 2016

KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU AKUTANA NA BODI YA MRADI WA MENEJIMEN TI YA MAAFA DAR ES SALAAM.

T1 
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Dkt. Hamisi Mwinyimvua akizungumza jambo wakati wa Kikao cha Bodi ya Mradi ya Menejimenti ya Maafa kilichofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Waziri Mkuu Juni 23, 2016.
T2 
Baadhi ya wajumbe wa Bodi ya Mradi wa Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu wakimsikiliza Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Dkt. Hamisi Mwinyimvua (hayupo pichani) wakati wa kikao cha kujadili utekelezaji wa mradi huo Juni 23, 2016.
T3Mkurugenzi Idara ya Uratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Brg. Jen, Mbazi Msuya akizungumza jambo katika kikao cha Bodi ya Mradi wa Menejimenti ya Maafa kilichofanyika katika Ukumbi wa mikutano Ofisi ya Waziri Mkuu Dar es Salaam, tarehe 23 Juni, 2016.
T4 
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Dkt. Hamisi Mwinyimvua (mwenye suti) akimsikiliza Mtaalam wa Uendeshaji wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Kimataifa Bw. Godfrey Mulisa wakati wa kikao cha kujadili utekelezaji wa mradi huo kilichofanyika  katika Ukumbi Ofisi ya Waziri Mkuu Dar es Salaam, Juni 23, 2016.
T5 
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Dkt. Hamisi Mwinyimvua (kulia) akisalimiana na Mchambuzi wa masuala ya mipango wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Kimataifa Bw. Mads Hove wakati wa kikao cha kujadili utekelezaji wa mradi wa Menejimenti wa  Maafa.
T6 
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Dkt. Hamisi Mwinyimvua (wa pili kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Bodi ya Mradi wa Menejimenti ya Maafa mara baada ya kumaliza kikao chao kilichofanyika Ofisini hapo.
(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni