KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU AKUTANA NA BODI YA MRADI WA MENEJIMEN TI YA MAAFA DAR ES SALAAM.
Katibu
Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Dkt. Hamisi Mwinyimvua
akizungumza jambo wakati wa Kikao cha Bodi ya Mradi ya Menejimenti ya
Maafa kilichofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Waziri Mkuu Juni 23,
2016.
Baadhi
ya wajumbe wa Bodi ya Mradi wa Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri
Mkuu wakimsikiliza Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu)
Dkt. Hamisi Mwinyimvua (hayupo pichani) wakati wa kikao cha kujadili
utekelezaji wa mradi huo Juni 23, 2016.
Katibu
Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Dkt. Hamisi Mwinyimvua
(mwenye suti) akimsikiliza Mtaalam wa Uendeshaji wa Shirika la Maendeleo
la Umoja wa Kimataifa Bw. Godfrey Mulisa wakati wa kikao cha kujadili
utekelezaji wa mradi huo kilichofanyika katika Ukumbi Ofisi ya Waziri
Mkuu Dar es Salaam, Juni 23, 2016.
Katibu
Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Dkt. Hamisi Mwinyimvua
(kulia) akisalimiana na Mchambuzi wa masuala ya mipango wa Shirika la
Maendeleo la Umoja wa Kimataifa Bw. Mads Hove wakati wa kikao cha
kujadili utekelezaji wa mradi wa Menejimenti wa Maafa.
Katibu
Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Dkt. Hamisi Mwinyimvua (wa
pili kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Bodi ya
Mradi wa Menejimenti ya Maafa mara baada ya kumaliza kikao chao
kilichofanyika Ofisini hapo.
(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni