MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU AKUTANA NA WAZIRI KUTOKA MALAYSIA NA MAKAMU WA RAIS WA TIGO AFRIKA
 Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akizungumza na Waziri asiye 
na Wizara Maalum katika Ofisi ya Waziri Mkuu wa Malaysia na Mkurugenzi 
Mtendaji wa kitengo kinachoshughulikia masuala ya utendaji Na 
utekelezaji wa miradi ya serikali Dk. Sri Idris Jala ,Ikulu jijini Dar 
es Salaam.
 
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu 
Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Waziri asiye na Wizara Maalum 
katika Ofisi ya Waziri Mkuu wa Malaysia na Mkurugenzi Mtendaji wa 
kitengo kinachoshughulikia masuala ya utendaji Na utekelezaji wa miradi 
ya serikali Dk. Sri Idris Jala (kushoto) mara baada ya mazungumzo ,Ikulu
 jijini Dar es Salaam.
 Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan 
akiwa kwenye picha ya pamoja na Waziri asiye na Wizara Maalum katika 
Ofisi ya Waziri Mkuu wa Malaysia na Mkurugenzi Mtendaji wa kitengo 
kinachoshughulikia masuala ya utendaji
Na utekelezaji wa miradi ya serikali Dk. Sri Idris Jala na ujumbe wake mara baada ya mazungumzo ,Ikulu jijini Dar es Salaam.
Na utekelezaji wa miradi ya serikali Dk. Sri Idris Jala na ujumbe wake mara baada ya mazungumzo ,Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan 
akizungumza na Makamu wa Rais wa Tigo Afrika Bi. Rachel Samren (Kushoto)
 wakati Bi. Rachel Samren alipomtembelea Makamu wa Rais  ofisini kwake 
Ikulu jijini Dar es salaam leo tarehe 24 Juni 2016. 
 Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan 
akiwa pamoja na Makamu wa Rais wa Tigo Afrika Bi. Rachel Samren wengine 
pichani kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Masuala ya Kisheria 
Bi. Sylvia Balwire na Bi. Halima Okash Afisa Uhusiano (wa kwanza 
kushoto)  Ikulu jijini Dar es salaam leo tarehe 24 Juni 2016.
——————————————————–
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania SAMIA SULUHU HASSAN ameiomba
 serikali ya MALAYSIA kujenga ofisi za ubalozi wake hapa
nchini ili kuimarisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili.
nchini ili kuimarisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili.
Makamu
 wa Rais ametoa kauli hiyo leo Juni 24, 2016 alipokutana na kufanya 
mazungumzo Waziri asiye na Wizara Maalum Dkt SRI IDRIS JALA ambaye
aliongozana na Balozi wa MALAYSIA aliye na makazi yake jijini Nairobi Kenya, ISMAIL SALAM walipomtembelea ofisini kwake Ikulu jijini Dar Salaam.
aliongozana na Balozi wa MALAYSIA aliye na makazi yake jijini Nairobi Kenya, ISMAIL SALAM walipomtembelea ofisini kwake Ikulu jijini Dar Salaam.
Makamu
 wa Rais amesema ujenzi wa ofisi za ubalozi huo hapa nchini utarahisisha
 kwa kiasi kikubwa Watanzania wanaotaka kusafiri kwenda nchini
MALAYASIA kwa ajili ya shughuli mbalimbali zikiwemo za masomo na biashara kuliko hali ilivyo sasa ambapo ofisi za balozi hizo zipo Nairobi – Nchini KENYA.
MALAYASIA kwa ajili ya shughuli mbalimbali zikiwemo za masomo na biashara kuliko hali ilivyo sasa ambapo ofisi za balozi hizo zipo Nairobi – Nchini KENYA.
Kwa
 upande wake Waziri asiye na Wizara Maalum Dkt SRI IDRIS JALA 
amemhakikishia Makamu wa Rais kuwa nchi yake itaendelea 
kuimarisha,kukuza
na kuendeleza mahusiano na ushirikiano kati ya Tanzania na Malaysia hasa uanzishaji wa ubalozi wake hapa nchini.
na kuendeleza mahusiano na ushirikiano kati ya Tanzania na Malaysia hasa uanzishaji wa ubalozi wake hapa nchini.
Hata
 hivyo, Waziri huyo amesisitiza umuhimu wa kuanzishwa kwa Makubaliano ya
 pamoja ya ushirikiano kati ya Tanzania na Malaysia ambayo
yatajikita katika sekta mbalimbali zikiwemo za elimu, uchukuzi na biashara.
yatajikita katika sekta mbalimbali zikiwemo za elimu, uchukuzi na biashara.
Wakati
 huo huo, Makamu wa Rais SAMIA SULUHU HASSAN pia amekutana Makamu wa 
Rais wa TIGO – Afrika RACHEL SAMREN ambapo wamezungumzia masuala
mbalimbali ikiwemo namna kampuni hiyo itakavyosadia katika kuwawezesha wanawake kuondokana na umaskini hapa nchini.
mbalimbali ikiwemo namna kampuni hiyo itakavyosadia katika kuwawezesha wanawake kuondokana na umaskini hapa nchini.
Katika kuhakikisha taifa linaongeza ukusanyaji wa mapato,
Makamu wa Rais ameuhimiza uongozi wa kampuni ya Simu ya Tigo hapa nchini kuhakikisha
unalipa kodi kwa uwazi ili fedha hizo ziweze kusaidia serikali katika kuimarisha
utoaji wa huduma za kijamii hapa nchini.
Makamu wa Rais ameuhimiza uongozi wa kampuni ya Simu ya Tigo hapa nchini kuhakikisha
unalipa kodi kwa uwazi ili fedha hizo ziweze kusaidia serikali katika kuimarisha
utoaji wa huduma za kijamii hapa nchini.
 





 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni