MASHINDANO MAKUBWA YA KUHIFADHI QURAAN TUKUFU KUFANYIKA DIAMOND JUBILEE JUMAPILI HII
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Mashindano ya Kimataifa ya Kuhifadhi Quraan Tukufu, Sheikh Othman Ally Kaporo (katikati), akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa idara ya habari MAELEZO jijini Dar es Salaam Juni 23, 2016. Mashindano hayo yatafanyika Jumapili Juni 26, 2016 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. Wengine pichani ni Sheikh Mohammed Ally Hassan(kulia) na Sheikh AllySendo
|  | 
| Abuzar Kholidi kutoka Tajikistan | 
NA K-VIS MEDIA/KHALFAN SAID MASHINDANO
 ya Kimataifa ya Kusoma na Kuhifadhi Quraan, yanatarajiwa kufanyika 
Jumapili Juni 26, 2016 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es 
Salaam.
Akizungumza
 na Waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO leo 
Juni 23, 2016, Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya mashindano hayo, 
Sheikh Othman Ally Kaporo, amesema, mashindano hayo ambayo ni sehemu ya 
kutekeleza ibadaya funga
ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, yatashirikisha wanazuoni kutoka mataifambalimbali Duniani.
ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, yatashirikisha wanazuoni kutoka mataifambalimbali Duniani.
“
Kwa wale watakaojaaliwa, wanaweza kufika kwenye msikiti wa Mtoro ulioko
Kariakoo, na kujionea jinsi vijana wadodo wanavyosoma Quraan, kila siku usiku, na Jumapili ndio mashindano yenyewe haswaa.’Alisema.
Kwa wale watakaojaaliwa, wanaweza kufika kwenye msikiti wa Mtoro ulioko
Kariakoo, na kujionea jinsi vijana wadodo wanavyosoma Quraan, kila siku usiku, na Jumapili ndio mashindano yenyewe haswaa.’Alisema.
Katika
 mkutano huo na waandishi wa habari, washindani watatu waliwaonyesha 
waandishi umahiri wao wa kuhifadhi Quraan, miongoni mwao ni wanafunzi 
wawili wenye umri wa miaka kati ya 8 na 10, Abuzar Kholidi kutoka 
Tajikistan, na Ahmed Abdallah
kutoka Bangladesh. Kijana mwingine aliyeonyesha ufundiwa kuhifadhi Quraan Tukufu ni Gadzhimurad Magomedov, kutoka Russia.
kutoka Bangladesh. Kijana mwingine aliyeonyesha ufundiwa kuhifadhi Quraan Tukufu ni Gadzhimurad Magomedov, kutoka Russia.
 Ahmed Abdallah kutoka Bangladesh
 Gadzhimurad Magomedov, kutoka Russia
 




 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni