MFUKO WA PENSHENI WA PPF KUTOA HUDUMA ZOTE KWA WATEJA WAKE VIWANJA VYA SABASABA
By Newsroom on June 29, 2016
Muonekano
 wa nje ya Jengo la PPF lililopo Viwanja vya Maonesho ya Biashara ya 
Kimataifa vya Mwalimu Nyerere jijini Dar esSalaam (Sabasaba).
 Maandalizi
 Afisa
 Mafao wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Tulla Mwigune (kulia) Afisa Michango
 wa Mfuko huo, Saluna Aziz Ally (katikati) na Afisa Michango Glory 
Maboya, wakijiandaa kuhudumia wateja leo asubuhi katika Maonesho ya 
Biashara ya Kimataifa Sabasaba.
 Afisa
 Utafiti Neema Mjema (nyuma) na Mwanasheria wa Mfuko wa Pensheni wa PPF,
 Nyambilila Ndoboka, pia wakijiandaa kuweka mambo sawa kabla ya kuanza 
kupokea wateja katika Bandao lao la Maonesho kwenye Viwanja vya Sabasaba
 leo.
 Afisa
 Uwekezaji wa Mfuko huo, Jonas Mbwambo akiweka mambo sawa kabla ya 
kuanza kupokea wateja katika Banda lao namba 86 viwanja vya Saba saba.
 Afisa
 Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Pauline Msanga, akitoa maelezo 
kwa wananchi kuhusu Huduma za uendeshaji Mfuko huo, wakati 
walipotembelea katika Banda lao lililopo kwenye Viwanja vya Sabasaba 
jijini Dar es Salaam, leo. 
 Sehemu
 ya wananchi waliotembelea Banda la Mfuko wa Pensheni wa PPF wakipata 
elimu kuhusu Mafao yatolewayo na Mfuko huo na jinsi mwanachama 
anavyoweza kujiunga na kuchangia.
Continue reading →
 







 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni