RAIS DKT. MAGUFULI APOKEA TAARIFA YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2015 KUTOKA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.
Rais
 wa Jamhuri ya Mkuungano wa Tanzania Mhe,John Pombe Magufuli akitoa 
hutuba yake mbele ya viongozi mbali mbali na mabalozi wa nchi za nje 
baada ya kukabidhiwa Ripoti ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Jamhuri ya 
Muungano wa Tanzania(NEC) katika ukumbi wa Mikutano Ikulu ya Dar es 
Salaam leo
Rais
 wa Jamhuri ya Mkuungano wa Tanzania Mhe,John Pombe Magufuli akipokea 
Ripoti ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa 
Tanzania(NEC) kutoka kwa Jaji Mstaafu wa Tume hiyo Mhe,Damian Lubuva 
mbele ya Viongozi mbali mbali na mabalozi wa nchi za nje  katika ukumbi 
wa Mikutano Ikulu ya Dar es Salaam leo,[Picha na Ikulu.] 23/06/2016.
Rais
 wa Jamhuri ya Mkuungano wa Tanzania Mhe,Dkt.John Pombe Magufuli na 
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Mhe,Jaji Mstaafu Damian 
Lubuva wakionesha Ripoti ya Tume hiyo Juu baada ya kukabidhiwa rasmi leo
 katika ukumbi wa mikutano Ikulu ya Dar es Salaam,[Picha na Ikulu.] 
23/06/2016.
Baadhi ya Mawaziri na Viongozi wengine wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya
 Mkuungano wa Tanzania Mhe,John Pombe Magufuli alipokuwa akitoa hutuba 
yake mbele ya viongozi hao na waalikwa wakiwepo mabalozi wa nchi za nje 
baada ya kukabidhiwa Ripoti ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Jamhuri ya 
Muungano wa Tanzania(NEC) katika ukumbi wa Mikutano Ikulu ya Dar es 
Salaam leo 
 
Rais
 Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya Pili Mzee Ali 
Hassan Mwinyi (kushoto) Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 
awamu ya Nne Mhe,Jakaya Mrisho Kikwete(katikati)na Waziri Mkuu mstaafu 
Mhe,Ahmed Salum(kulia) wakiwa katika hafla ya kukabidhi Ripoti ya Tume 
ya Taifa ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania(NEC) katika 
ukumbi wa Mikutano Ikulu ya Dar es Salaam leo,
Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akiteta jambo na Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 
Mhe,Samia Suluhu Hassan wakati wa hafla ya kukabidhi Ripoti ya Tume ya 
Taifa ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania(NEC) katika ukumbi 
wa Mikutano Ikulu ya Dar es Salaam leo,
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni