BALOZI WA JAMHURI YA KOREA NCHINI AKUATANA NA RAIS DK.SHEIN
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Sheuin
akisalimiana na Balozi wa Jamhuri ya Korea nchini Tanzanzia Mhe,Song
Geum-Young alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa mazungumzo
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Sheuin
akizungumza na Balozi wa Jamhuri ya Korea nchini Tanzanzia Mhe,Song
Geum-Young alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kumsalimia Rais,
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Sheuin
akiagana na Balozi wa Jamhuri ya Korea nchini Tanzanzia Mhe,Song
Geum-Young alipofika Ikulu Mjini Zanzibar baada mazungumzo yao.
[Picha na Ikulu.]
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni