BALOZI WA JAMHURI YA KOREA NCHINI AKUATANA NA RAIS DK.SHEIN
Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Sheuin 
akisalimiana na Balozi wa Jamhuri ya Korea nchini Tanzanzia Mhe,Song 
Geum-Young alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa mazungumzo
Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Sheuin 
akizungumza na Balozi wa Jamhuri ya Korea nchini Tanzanzia Mhe,Song 
Geum-Young alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kumsalimia Rais,
Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Sheuin 
akiagana na Balozi wa Jamhuri ya Korea nchini Tanzanzia Mhe,Song 
Geum-Young alipofika Ikulu Mjini Zanzibar baada  mazungumzo yao.
[Picha na Ikulu.] 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni