ANGALIA MASHABIKI WA SIMBA WALIVYOJITOKEZA UWANJANI
Mashabiki
 wa Simba wamejitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa Taifa jijni Dar es 
Salaam kushuhudia mchezo kati ya Yanga dhidi ya TP Mazembe ya DR Congo.
Mashabiki
 hao ambao ilielezwa awali hawatakwenda, wamejitokeza kwa wingi huku 
wengi wakitaka kuishangilia TP Mazembe na si Yanga.
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni