TAA YAADHIMISHA WIKI YA UTUMISHI KWA IDARA YAKE YA RASILIMALI WATU
 Afisa
 Rasilimali Watu Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA), Fatma 
Matimba, akichapa kazi ofisini kwake jijini Dar es Salaam, wakati wa 
kilele cha siku ya Utumishi wa Umma ambapo mwaka huu, maadhimisho hayo 
yamefanyika mahala pa kazi ambapo wananchi pamoja na wafanyakazi wa 
taasisi husika walipata fursa ya kujipatia elimu ya shughuli mbalimbali 
zifanywazo na taasisi husika. 
 Meneja
 Rasilimali Watu Mafunzo wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA), Abdul 
Mkwizu (kulia) akimpa maelezo kuhusu mafunzo Ally Zongo, mfanyakazi wa 
taasisi hiyo, kwenye maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2016.
Meneja
 Rasilimali Watu Mafunzo wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA), Abdul 
Mkwizu (kulia) akimpa maelezo kuhusu mafunzo Ally Zongo, mfanyakazi wa 
taasisi hiyo, kwenye maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2016.
Afisa
 Rasilimali Watu Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA), Fatma 
Matimba (kushoto) akitoa ufafanuzi juu ya upandishaji vyeo kwa 
wafanyakazi Omari Hazaa (katikati) na Yusuph Mahadhi (kulia), ikiwa ni 
mwendelezo wa maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, 2016. 
(PICHA NA K-VIS MEDIA/KHALFAN SAID)
 



 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni