SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC) LAANZA KUTOA HUDUMA KATIKA MAONESHO YA 40 YA KIMATAIFA ya SABASABA
Banda la Shirika
la Nyumba la Taifa (NHC) likiwa katika Maonesho ya 40 ya Kimataifa ya
Biashara, yanayofanyika kila mwaka katika viwanja vya Mwalimu Nyerere
Sabasaba jijini Dar es salaam tayari limeanza rasmi kutoa huduma zake
katika viwanja hivyo.
Afisa
Mawasiliano na Huduma kwa Jamii wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),Bi
Edith Nguruwe akiwapa maelezo wananchi waliotembelea banda la (NHC)
kuhusina na huduma zinazotolewa na Shirika hilo.
Afisa Mauzo Mwandamizi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Emmanuel
Limo (kushoto), akimuelezea Wananchi Kuhusiana na mradi wa SAFARI CITY
uliopo Arusha alipotembelea banda hilo katika maonesho ya Sabasaba.
Afisa
biashara (NHC), Clara Lubanga akitoa ufafanuzi kwa mmoja wa Wananchi
aliotembelea banda hilo kuhusiana uzwaji wa nyumba (katikati), Afisa
Mauzo wa (NHC), Joseph Haule.
Afisa Mauzo (NHC), Jasson Ipyana akimuelezea mwananchi kuhusina na miradi ya nyumba y
a bei nafuu ilioko nchini.
Bw: Klison Sanane (kushoto), akifafanua miradi mbalimbali ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).
Aika Swai (kushoto), akielezea kuhusiana na utaratibu wa unaoutumika katika ununuzi wa nyumba za (NHC) huku baadhi ya wadau kutoka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wakimsikiliza kwa umakini.
PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON-FULLSHANGWEBLOG.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni