LAPF NDANI YA MAONESHO YA SABASABA 2016
Mkuu
 wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF Bw. 
James Mlowe akizungumza na waandishi wa habari kuhusu sababu za ushiriki
 wa Mfuko katika maonyesho ya biashara ya kimataifa (Saba Saba 2016).
Afisa
 Mifumo ya kompyuta kutoka Mfuko wa Pensheni wa LAPF Bw. Yohana Nyabili 
akitoa maelezo kwa mwanachama wa Mfuko pamoja na kumpatia taarifa ya 
michango yake mara baada ya mwanachama huyo kutembelea banda ya Mfuko 
kwenye maonyesho ya biashara ya kimataifa (Saba Saba 2016).
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni