Bodi ya Filamu yakutana na wadau wa filamu katika kuadhimisha wiki ya Utumishi wa Umma
Katibu
 Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bi Joyce Fisso (kushoto) 
akizungumza na wadau wa filamu (hawapo pichani) kujadili changamoto na 
namna ya kuendeleza tasnia ya filamu nchini ikiwa ni utaratibu wa 
kukutana na wadau hao kusikiliza changamoto zao na kuzipatia ufumbuzi 
ikiwa ni  maadhimisho ya wiki ya Utumishi wa Umma, kulia ni Kaimu Mkuu 
wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini kutoka Wizara ya Habari Utamaduni 
Sanaa na Michezo Genofeva Matemu.
Rais
 wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Bw.Simon Mwakifwamba akichangia
 hoja katika kikao kati ya Bodi ya Filamu Tanzania  na wadau wa filamu 
nchini ikiwa ni utaratibu wa kukutana na wadau hao kusikiliza changamoto
 zao na kuzipatia ufumbuzi ikiwa ni  maadhimisho ya wiki ya Utumishi.
Muandaaji
 na msanii wa filamu nchini Bw. William Mtitu akichangia hoja katika 
kikao kati ya Bodi ya Filamu Tanzania  na wadau wa filamu nchini ikiwa 
ni utaratibu wa kukutana na wadau hao kusikiliza changamoto zao na 
kuzipatia ufumbuzi ikiwa ni  maadhimisho ya wiki ya Utumishi wa Umma.
Mmoja
 ya wadau wa filamu Bw. Hussein Kimu akichangia hoja katika kikao kati 
ya Bodi ya Filamu Tanzania  na wadau wa filamu nchini ikiwa ni utaratibu
 wa kukutana na wadau hao kusikiliza changamoto zao na kuzipatia 
ufumbuzi ikiwa ni  maadhimisho ya wiki ya Utumishi wa Umma.
Picha zote na Shamimu Nyaki WHUSM
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni