Msanii Msami Giovani anayefanya vizuri na wimbo wake wa
‘Mabawa’ leo June 11, 2016 amefanyiwa surprise na meneja wake Rehema kwa
kumzawadia gari aina ya Toyota Ipsum yenye thamani ya shilingi milioni
15.
Msami akikabidhiwa Kadi ya Gari na meneja wake Rehema
Meneja wake amesema hiyo ni baada ya single yake kufanya vizuri kwenye redio na TV na hata kumpa shows nyingi zaidi mwaka huu.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni