Alhamisi, 2 Juni 2016

NAIBU WAZIRI JAFO AZINDUA MADARASA SHULE YA MSINGI NZUGUNI B. DODOMA

jaf2 
Mbunge wa Dodoma Mjini ambaye pia ni Naibu wa Waziri Vijana na AJIRA Anthony Mavunde akitoa neno la shukrani wakati wa uzinduzi huo
jaf3 
Mkuu wa wilaya ya Dodoma Jasmine Tiisekwa akitoa taarifa ya mradi huo wakati wa uzinduzi wa madarasa.
jaf4 
Picha ya Pamoja na walimu wa shule ya msingi Nzuguni B pamoja watendaji wengine
jaf5 
Jengo la madarasa yaliyozinduliwa linavyoonekamana mara baada ya uzinduzi huo.
PICHA ZOTE NA RAMADHANI JUMA

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni