Nataka
Kufanya kazi na Chamereone
Na Raymond Urio, Dar
Msanii na
Muimbaji wa kizazi kipya wa Bongo Fleva, Juma Bakari ‘Juma B’ ametambulisha rasmi wimbo weake Mpya unaoenda kwa jina la “Mtoto
Mlimbwende” aliemshirikisha Mwanamuziki Garinya Six.
Msanii wa Kizazi Kipya Juma Bakari ' Juma B'
Msanii
huyo ambae amepanga kuleta Mapinduzi katika soko la Muziki nchini, amewaomb
amashabiki wapokee vyema kazi zake ambazo ameshafanya na wasanii wanaotamba
nchini.
Akizungumza
na Mwandishi wa Blog ya Makanya West, Bakari alisema kuwa, anaowaomba mashabiki
waweze kumpokea kwa mikono miwili kwa kuwa ndio mara ya kwanza kuingia katika
soko la Muziki nchi.
“Nawaomba
mashabiki wote wazipokee kazi zangu ambazo zimetoka na teyari baadhi ya nyimbo
ziko Sokoni ni wao kuchukua na kuzisikiliza, alisema Bakari.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni