PICHA ZIKIONESHA: KOBE BRAYANT ALIVYOSTAAFU RASMI, MASTAA KIBAO WAJITOKEZA USIKU HUO, JAY Z, DAVID BECKHAM, WAHUDHURIA
Mcheza kikapu maarufu wa Marekani, Kobe Bryant amestaafu kucheza mpira wa kikapu.
Nyota
huyo wa LA Lakers amestaafu na kuagwa na mashabiki kibao wakiwemo nyota
wa muziki kama Jay Z, soka wakiongozwa na David Beckham na kikapu
wakiongozwa na Magic Johnson.
Katika
siku hiyo ya kuagwa, Kobe aliyechezea kwenye NBA kwa miaka 20, aliingoza
Lakers kushinda kwa pointi 101-96 dhidi ya Utah Jazz huku yeye akifunga
pointi 60 na kuweka rekodi ya aina yake.


















Hakuna maoni:
Chapisha Maoni