MATUKIO KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akiteta na Mbunge  wa Ilala  Azzan  Mussa Zungu, bungeni mjini Dodoma Aprili 29, 2016.
Waziri
 Mkuu,Kassim Majaliwa akiteta na Mbunge wa Ilemela na Naibu Waziri wa 
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya makazi, Angeline Mabula bungeni mjini 
Dodoma Aprili 29, 2016. 
Waziri
 Mkuu,Kassim Majaliwa akiteta na Mbunge wa Mpwapwa, George Lubeleje 
kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Aprili 29, 2016. 
Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Butiama , Nimrod Mkono 
kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Aprili 29, 2016.
Waziri
 Mkuu,Kassim Majaliwa akiteta na wabunge Ahmed Shabiby wa Gairo 
(kushoto) na Suleiman Ahmed  Saddiq wa Mvomero, kwenye viwanja vya bunge
 mjini Dodoma Aprili 29, 2016.
Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Songea Mjini, Leonidas 
Gama kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Aprili 28, 2016. (Picha na 
Ofisi ya Waziri Mkuu)
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni