Jumatano, 27 Aprili 2016

TUGHE WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI YAKUTANA KUCHAGUA MFANYAKAZI BORA WA TAWI LA WIZARA HIYO.

tu1Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (TUGHE), tawi la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, William Mkombozi (kulia meza kuu) akizungumza na wajumbe wa chama hicho kabla ya kufanya uchaguzi wa Mfanyakazi Bora wa tawi hilo katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam leo. Kushoto meza kuu ni Katibu wa Chama hicho, Obed Mbaga. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
tu2Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (TUGHE), tawi la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, William Mkombozi (kulia meza kuu) akizungumza na wajumbe wa chama hicho kabla ya kufanya uchaguzi wa Mfanyakazi Bora wa tawi hilo katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam leo. Kushoto meza kuu ni Katibu wa Chama hicho, Obed Mbaga. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni