Mkakati wa utozaji wa faini kwa Wamiliki wa ardhi.
Kaimu
Mkuu wa Kitengo cha Kodi Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya
Makazi, Bi. Rehema Kilonzi (Kushoto) akielezea mbele ya wanahabari
(hawapo pichani) kuhusu hatua ya kazi ya mkakati wa utozaji wa faini kwa
Wamiliki wa ardhi waliokiuka masharti ya uendelezaji na ulipaji kodi ya
pango la ardhi leo katika Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Uliopo
jijini Dar es Salaam.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni