Mkakati wa utozaji wa faini kwa Wamiliki wa ardhi.
Kaimu
 Mkuu wa Kitengo cha Kodi Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya 
Makazi, Bi. Rehema Kilonzi (Kushoto) akielezea mbele ya wanahabari 
(hawapo pichani) kuhusu hatua ya kazi ya mkakati wa utozaji wa faini kwa
 Wamiliki wa ardhi waliokiuka masharti ya uendelezaji na ulipaji kodi ya
 pango la ardhi leo katika Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Uliopo 
jijini Dar es Salaam.
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni