Alhamisi, 28 Aprili 2016

By Newsroom on April 28, 2016 


Yanga tayari wako jijini Mwanza tayari kuwavaa Toto Afrika katika mechi ya Ligi Kuu Bara itakayopigwa kwenye Uwanja wa Kirumba jijini Mwanza, Jumamosi.



Iwapo Yanga itashinda mchezo huo, itakuwa imejihakikishia kuwa bingwa wa Bara kwa asilimia 85.

Yanga ambayo imetua mjini Mwanza leo, itaendelea na maandalizi ya mechi hiyo tayari kabisa kumaliza kazi yake ya Kanda ya Ziwa ikianza na Toto, halafu itahamia mjini Shinyanga.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni