BARAZA LA WAFANYAKAZI WA SEKTA YA UJENZI LAKUTANA
Mtafiti
 wa masuala ya Hifadhi ya Jamii kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya
 Hifadhi ya Jamii (SSRA) Bw. Michael Semiono akifafanua jambo kwa 
wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Sekta ya Ujenzi.
Baadhi
 ya Watendaji Wakuu wa Sekta ya Ujenzi wakiwa katika kikao cha Baraza la
 Wafanyakazi sekta ya ujenzi lililofanyika jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi (sekta ya ujenzi) 
wakisikiliza kwa makini hotuba ya Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi 
Sekta ya Ujenzi ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na 
Mawasiliano wa sekta hiyo Eng. Joseph Nyamhanga, katika kikao cha Baraza
 la Wafanyakazi kililofanyika jijini Dar es Salaam.
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni