Ijumaa, 29 Aprili 2016

MKUTANO WA WATAALAM WA UTHAMINI WA KUPITIA VIWANGO ELEKEZI VYA BEI YA SOKO LA ARDHI NCHINI 2016

R1 
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Yamungu Kayandabila pamoja na Kaimu Mthamini Mkuu wa Serikali Bi. Evelyin Mugashwa wakifuatilia taarifa ya viwango elekezi vya bei ya soko la Ardhi nchini katika mkutano na wataalam wa Uthamini Aprili 29, 2016.
R2 
Watalaam wa uthamini wa Serikali, Mashirika ya Umma na binafsi wakijadili taarifa ya viwango elekezi vya bei ya soko la Ardhi nchini iliyowasilishwa kwao na ofisi ya mthamini mkuu wa Serikali Aprili 29, 2016.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni