SHIRIKA LA UMEME TANZANIA TANESCO LAZINDUA "TANESCO UMEME"
By Newsroom on April 29, 2016  
       
       
Mkurugenzi
 Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO)  Mhandisi Felchesmi 
Mramba (kulia) akizungumza na Waandishi,viongozi wa Tanesco Dar es 
Salaam jana wakati wa Uzinduzi wa ‘Tanesco Huduma’ zilizoboreshwa kwa 
wananchi ,wateja wanaotumia simu za mkononi za kisasa katika mfumo 
uliotengenezwa  COSTECH. 
 Mkurugenzi
 Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO)  Mhandisi Felchesmi 
Mramba (katikati) akizungumza.Wengine  kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa 
Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH),Hassan Mshinda 
na Ofisa Mtendaji Mkuu wa DTBi,George Mulamula.
 kiongozi wa Tanesco akizungumza.
 Wataalamu wa COSTECH wakipangalia mtandao.
 Maofisa wa Tanesco wakijadiliana jambo.
 Mtaalamu wa Mtandao COSTECH,Godfrey Magila akizungumza na kufafanua. 
 Wataalamu wa Mtandao wa COSTECH
Viongozi wa Tanesco na Tume ya sayansi na Teknolojia COSTECH wakifurahia jambo.
Kwa Ufupi. 
Tanesco
 imezindua ‘Tanesco Huduma’ Itakayoboresha huduma kwa  wananchi, 
kuwasilisha Taarifa kwa kutumia simu za mkononi za kisasa kwa mtu 
binafsi au kundi katika mitaa wanayohishi.Kutakuwa na mfumo 
utakaokujulisha mambo mbalimbali ya Shirika hilo,Katika majaribio 
yameanza kwenye mkoa wa tanesco wa Kinondoni.
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni