MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO ,SAID MECKY SADICK AFANYA ZIARA YA UTAMBURISHO WILAYA YA HAI.
Mkuu
 wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Said Mecky Sadickyakitia saini katika kitabu 
cha wageni alipotembelea ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Hai hii leo.
Mkuu
 mpya wa wilaya Hai , Gelasius Byakanwa (kushoto) akimuelekeza jambo 
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Said Mecky Sadick alipotembelea ofisini 
kwake mapema hii leo.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Said Mecky Sadick akizungumza na watendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Hai.
Mkuu
 mpya wa wilaya ya Hai,Gelasius Byakanwa akitoa taarifa ya wilaya hiyo 
kwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Said Mecky Sadick alipotembelea ofisini
 kwake mapema hii leo.
Mkurugenzi
 wa Halmashauri ya wilaya ya Hai ,Said Mderu akiandaa taarifa kwa ajili 
ya kukabidhi kwa mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Said Mecky Sadick.
Mkuu
 wa Polisi wilaya ya Hai ,OCD Pancras Mdimi akifuatilia taarifa ya 
wilaya iliyokuwa ikitolewa kwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.
Mkuu
 wa Mkoa wa Kilimanjaro,Said Mecky Sadick akisoma ubao wenye majina ya 
wakuu wa wilaya waliowahi kufanya kazi katika wilaya hiyo .
Mkuu
 wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Said Mecky Sadick akiongozana na Mkuu mpya wa 
wilaya ya Hai,Gelasius Byakanwa wakati wakitoka katika ofisi ya mkuu 
huyo wa wilaya.
Na Dixon Busagaga wa Globua ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
 









 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni