Alhamisi, 28 Aprili 2016

MAJALIWA AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA NSSF

NSSF 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii  (NSSF), Profesa Godius Kahyarara, Ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma Aprili 28, 2016. (Picha  na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni