MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AFUNGUA MKUTANO WA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI KATIKA NCHI ZA UKANDA WA MASHARIKI NA KUSUNI MWA AFRIKA
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akifungua mkutano kuhusu kuwezesha wanawake kiuchumi katika nchi za 
Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika. Mkutano huo umeandaliwa na 
Jopo la Ngazi ya Juu la Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon 
alilolituewa Mwanzoni mwa huu, kusaidia kufanya uchambuzi na kutoa 
mapendekezo ya namna ya kuchagiza kasi ya kuwezesha wanawake kiuchumi 
ifikapo 2030. Umefanyika Leo April 29,2016 Hyatt Hotel Dar es salaam.
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan 
akiwa katika picha ya pamoja na Jopo la ngazi ya Juu la Katibu Mkuu wa 
Umoja wa Mataifa la kuwezesha wanawake kiuchumi Baada ya kufungua 
mkutano kuhusu kuwezesha wanawake kiuchumi katika nchi za Ukanda wa 
Mashariki na Kusini mwa Afrika. Mkutano huo unazungumzia kuhusu kusaidia
 kufanya uchambuzi na kutoa mapendekezo ya namna ya kuchagiza kasi ya 
kuwezesha wanawake kiuchumi ifikapo 2030. Umefanyika Leo April 29,2016. 
(Picha na OMR
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni