RAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA RASMI KIKAO KAZI CHA MAKAMANDA WA POLISI, WANASHERIA WA SERIKALI WAFAWIDHI WA MIKOA NA WAKUU WA UPELELEZI WA MIKOA NA VIKOSI.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
na Makamanda wa Polisi, Wanasheria wa Serikali, Wafawidhi wa Mikoa na
Wakuu wa upelelezi wa Mikoa na Vikosi kabla ya kufungua rasmi Kikao kazi
cha Makamanda hao wa Polisi katika Ukumbi wa Dodoma Convention Center
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
na Makamanda wa Polisi, Wanasheria wa Serikali, Wafawidhi wa Mikoa na
Wakuu wa upelelezi wa Mikoa na Vikosi kabla ya kufungua rasmi Kikao kazi
cha Makamanda hao wa Polisi katika Ukumbi wa Dodoma Convention Center
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
amesimama pamoja na viongozi wengine wakati wimbo wa Jeshi la polisi
ukipigwa. Kulia kwake ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Charles
Kitwanga, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana, Mwanasheria Mkuu wa
Serikali George Masaju, Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Valentino Mlowola,
Kushoto kwake ni Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Harison Mwakyembe ,
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamad Yusuph Masauni na
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini Ernest Mangu.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili
kwenye ukumbi wa Mikutano wa Dodoma Convention Center kwa ajili ya
ufunguzi wa rasmi Kikao kazi cha Makamanda hao wa Polisi.
Baadhi
ya Makamanda wa polisi wa Mikoa mbalimbali wakipiga makofi wakati Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa
akiwahutubia.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
jambo na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu kabla ya
kufungua kikao kazi hicho.
Mkuu
wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu akimshukuru Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya kufungua
kikao kazi hicho.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika picha ya pamoja na Makamanda wa Polisi wa mikoa mara baada ya
kufungua kikao kazi chao katika ukumbi wa Dodoma Convention Center mjini
Dodoma.
Baadhi ya Makamanda wa polisi wa Mikoa mbalimbali wakiimba Wimbo wa Jeshi la Polisi kabla ya ufunguzi wa Kikao kazi hicho.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Kamanda wa Kikosi cha Usalama barabarani Mohamed Mpinga
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na
baadhi ya Wanasheria wa Serikali, Wafawidhi wa Mikoa na
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni