RAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA RASMI KIKAO KAZI CHA MAKAMANDA WA POLISI, WANASHERIA WA SERIKALI WAFAWIDHI WA MIKOA NA WAKUU WA UPELELEZI WA MIKOA NA VIKOSI.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
 na Makamanda wa Polisi, Wanasheria wa Serikali,  Wafawidhi wa Mikoa na 
Wakuu wa upelelezi wa Mikoa na Vikosi kabla ya kufungua rasmi Kikao kazi
 cha Makamanda hao wa Polisi katika Ukumbi wa Dodoma Convention Center
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
 na Makamanda wa Polisi, Wanasheria wa Serikali,  Wafawidhi wa Mikoa na 
Wakuu wa upelelezi wa Mikoa na Vikosi kabla ya kufungua rasmi Kikao kazi
 cha Makamanda hao wa Polisi katika Ukumbi wa Dodoma Convention Center
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa 
amesimama pamoja na viongozi wengine wakati wimbo wa Jeshi la polisi 
ukipigwa. Kulia kwake ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Charles 
Kitwanga, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana, Mwanasheria Mkuu wa 
Serikali George Masaju, Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Valentino Mlowola, 
Kushoto kwake ni Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Harison Mwakyembe , 
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamad  Yusuph Masauni na
 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini Ernest Mangu.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili 
kwenye ukumbi wa Mikutano wa Dodoma Convention Center kwa ajili ya 
ufunguzi wa rasmi Kikao kazi cha Makamanda hao wa Polisi.
Baadhi
 ya Makamanda wa polisi wa Mikoa mbalimbali wakipiga makofi wakati Rais 
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa 
akiwahutubia.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
 jambo na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu kabla ya 
kufungua kikao kazi hicho.
Mkuu
 wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu akimshukuru Rais wa Jamhuri 
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya kufungua 
kikao kazi hicho.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa 
katika picha ya pamoja na Makamanda wa Polisi wa mikoa mara baada ya 
kufungua kikao kazi chao katika ukumbi wa Dodoma Convention Center mjini
 Dodoma.
Baadhi ya Makamanda wa polisi wa Mikoa mbalimbali wakiimba Wimbo wa Jeshi la Polisi kabla ya ufunguzi wa Kikao kazi hicho.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akisalimiana na Kamanda wa Kikosi cha Usalama barabarani Mohamed Mpinga
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na
 baadhi ya Wanasheria wa Serikali, Wafawidhi wa Mikoa na 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni