Mashindano ya Ubingwa wa Mchezo wa Chess Afrika Kanda ya 4.2 yaanza jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Mfuko wa mchezo wa 
Chess Tanzania (TCF) Bw. Vinay Choudary akizungumza na waandishi wa 
habari wakati wa ufunguzi wa Mashindano ya Ubingwa wa Afrika, Kanda ya 
4.2 ya mchezo huo jana jijini Dar es Salaam. Kanda ya 4.2 inahusisha 
nTimu kutoka nchi za Misri, Ethiopia, Eritria, Sudan, Sudani Kusini, 
Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Somalia,Djibouti na wenyeji 
Tanzania.Mashindano hayo yameanza jana tarehe 23 April hadi April 
31ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa
 na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye.
Mwenyekiti wa Chama cha Mchezo wa
 Chess Tanzania (TCA) Bw. Geofrey Mwanyika akizungumza na waandishi wa 
habari wakati wa ufunguzi wa Mashindano ya Ubingwa wa Afrika, Kanda ya 
4.2 ya Mchezo huo jana jijini Dar es Salaam. Kanda ya 4.2 inahusisha 
Timu kutoka nchi za Misri, Ethiopia, Eritria, Sudan, Sudani Kusini, 
Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Somalia,Djibouti na wenyeji Tanzania.
Rais wa Chama cha Mchezo wa Chess
 Malawi, ambaye pia ni ni Mbunge mstaafu wa wa Bunge La nchi hiyo Mhe. 
Kezzie Msukwa akizungumza namna Mhcezo huo Mchezo huo ulivyopiga hatua 
nchini Tanzania ukilinganisha na kwao jana jijini Dar es Salaam wakati 
wa ufunguzi wa Mashindano ya Ubingwa wa Afrika, Kanda ya 4.2 ya Mchezo 
huo jana jijini Dar es Salaam. Kanda ya 4.2 inahusisha Timu kutoka nchi 
za Misri, Ethiopia, Eritria, Sudan, Sudani Kusini, Kenya, Uganda, 
Rwanda, Burundi, Somalia,Djibouti na wenyeji Tanzania. Mbunge huyo wa 
zamani wa Malawi yupo nchini kama Mwamuzi katika mashindano hayo.
Baadhi ya washiriki wa Mashindano
 ya Ubingwa wa Chess Afrika, Kanda ya 4.2 kimchezo huo wakiendelea 
kuchuana jana jijini Dar es Salaam. Mashindano hayo yanendelea katika 
Ukumbu uliopo Hotel ya Peackok ambapo mshindi katika mashindano hayo 
atajinyakulia kitika cha Euro 3000.
Baadhi ya washiriki wa Mashindano ya Ubingwa wa Chess Afrika, Kanda ya 4.2 kimchezo huo wakiendelea kuchuana jana jijini Dar es Salaam. Mashindano hayo yanendelea katika Ukumbu uliopo Hotel ya Peackok ambapo mshindi katika mashindano hayo atajinyakulia kitika cha Euro 3000.
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni