 Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Ndugu Jumanne Abdallah Sagini kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, 
Ikulu jijini Dar es Salaam.PICHA NA IKULU
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Ndugu Jumanne Abdallah Sagini kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, 
Ikulu jijini Dar es Salaam.PICHA NA IKULU
 
  Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Ndugu Selestine Muhochi Gesimba kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita, 
Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Ndugu Selestine Muhochi Gesimba kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita, 
Ikulu jijini Dar es Salaam. 
  Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Ndugu Amantius Casmiri Msole kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, 
Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Ndugu Amantius Casmiri Msole kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, 
Ikulu jijini Dar es Salaam. 
  Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Ndugu Zuberi Mhina Samataba kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Ikulu 
jijini Dar es Salaam..  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. 
John Pombe Magufuli akimuapisha Ndugu Zuberi Mhina Samataba kuwa Katibu 
Tawala wa Mkoa wa Pwani, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Ndugu Zuberi Mhina Samataba kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Ikulu 
jijini Dar es Salaam..  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. 
John Pombe Magufuli akimuapisha Ndugu Zuberi Mhina Samataba kuwa Katibu 
Tawala wa Mkoa wa Pwani, Ikulu jijini Dar es Salaam. 
  Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Dkt. Thea Medard Ntara kuwa katibu Tawala wa mkoa wa Tabora, Ikulu 
jijini Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Dkt. Thea Medard Ntara kuwa katibu Tawala wa mkoa wa Tabora, Ikulu 
jijini Dar es Salaam. 
  Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Ndugu Richard Nkingwa Kwitega kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, 
ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Ndugu Richard Nkingwa Kwitega kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, 
ikulu jijini Dar es Salaam. 
  Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Eng. Aisha Salim Amour kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Kilimanjaro, Ikulu
 jijini Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Eng. Aisha Salim Amour kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Kilimanjaro, Ikulu
 jijini Dar es Salaam. 
  Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Eng. Zena Ahmed Said kuwa Katibu Tawala wa mkoa  wa Tanga, Ikulu jijini
 Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Eng. Zena Ahmed Said kuwa Katibu Tawala wa mkoa  wa Tanga, Ikulu jijini
 Dar es Salaam. 
  Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Ndugu Albert Gabriel Msovela kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga, 
Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Ndugu Albert Gabriel Msovela kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga, 
Ikulu jijini Dar es Salaam. 
  Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Dkt. Angelina Mageni Lutambi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida, 
ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
 Dkt. Angelina Mageni Lutambi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida, 
ikulu jijini Dar es Salaam. 
  Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa 
katika picha ya pamoja na Makatibu Tawala wapya wa Mikoa 10 mara baada 
ya Kuwaapisha. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na 
Kushoto kwake  ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa 
katika picha ya pamoja na Makatibu Tawala wapya wa Mikoa 10 mara baada 
ya Kuwaapisha. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na 
Kushoto kwake  ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi. 
 Rais
 Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Makatibu Tawala wapya mara baada 
ya kupiga nao picha ya pamoja Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
 Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Makatibu Tawala wapya mara baada 
ya kupiga nao picha ya pamoja Ikulu jijini Dar es Salaam. 
  Rais
 Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na waandishi wa 
habari kutoka vyombo mbalimbali vya Habari Ikulu jijini Dar es Salaam. 
Wengine katika picha ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na 
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Eng. John Kijazi.Rais Dkt. John Pombe 
Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na waandishi wa habari kutoka 
vyombo mbalimbali vya Habari Ikulu jijini Dar es Salaam. Wengine katika 
picha ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Katibu Mkuu 
Kiongozi Balozi Eng. John Kijazi.
Rais
 Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na waandishi wa 
habari kutoka vyombo mbalimbali vya Habari Ikulu jijini Dar es Salaam. 
Wengine katika picha ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na 
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Eng. John Kijazi.Rais Dkt. John Pombe 
Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na waandishi wa habari kutoka 
vyombo mbalimbali vya Habari Ikulu jijini Dar es Salaam. Wengine katika 
picha ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Katibu Mkuu 
Kiongozi Balozi Eng. John Kijazi. 
 Rais
 Dkt. John Pombe Magufuli akijadiliana jambo na Makamu wa Rais Samia 
Suluhu Hassan pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Eng. John Kijazi 
mara baada ya kumaliza kuwaapisha Makatibu Tawala wa mikoa 10 Ikulu 
jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
Rais
 Dkt. John Pombe Magufuli akijadiliana jambo na Makamu wa Rais Samia 
Suluhu Hassan pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Eng. John Kijazi 
mara baada ya kumaliza kuwaapisha Makatibu Tawala wa mikoa 10 Ikulu 
jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU 
……………………………………………………………………………………………………….
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa 
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewaapisha Makatibu Tawala wapya kumi
 aliowateua tarehe 25 Aprili, 2016 na kuwapangia vituo vyao vya kazi.
Makatibu Tawala hao wameapishwa 
leo tarehe 27 Aprili, 2016 Ikulu Jijini Dar es salaam na kisha wametia 
saini hati ya ahadi ya uadilifu kwa viongozi wa umma, zoezi 
lililoendeshwa na Kamishna wa maadili Sekreatieti ya Maadili ya Viongozi
 wa Umma, Mheshimiwa Jaji Salome Kaganda na kushuhudiwa na Katibu Mkuu 
Kiongozi Balozi John Kijazi.
Makatibu Tawala walioapishwa ni;
- Arusha – Richard Kwitega
- Geita – Selestine Muhochi Gesimba
- Kagera – Armatus C. Msole
- Kilimanjaro – Aisha Amour
- Pwani – Zuberi Mhina Samataba
- Shinyanga – Albert Gabriel Msovela
- Singida – Angelina Mageni Lutambi
- Simiyu – Jumanne Abdallah Sagini
- Tabora – Thea Medard Ntara
- Tanga – Zena Said
Makatibu Tawala wengine wa Mikoa 
ambao hawakuapishwa leo, ni wale waliohamishwa vituo vya kazi na wale 
waliobaki katika vituo vya kazi walivyokuwep,o ambao tayari walishakula 
kiapo cha kuwa Katibu Tawala wa Mkoa.
Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
Dar es salaam
27 Aprili, 2016
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni