| 
 
Mtengenezaji
 filamu kutoka Happy Time Production Bw. Carlos Johns Johns akizungumza 
katika kikao cha usuluhishi wa madai ya kupewa nakala halisi ya filamu 
kati yake na mtunzi wa filamu ya Nyota ya Jaha Bw. Emmanuel Mayunga 
kilichofanyika chini ya Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Tanzania Bi. 
Joyce Fisso, kulia ni Afisa Utamaduni Bodi ya Filamu Tanzania Bw. Simon 
Peter. | 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni