Mtengenezaji
filamu kutoka Happy Time Production Bw. Carlos Johns Johns akizungumza
katika kikao cha usuluhishi wa madai ya kupewa nakala halisi ya filamu
kati yake na mtunzi wa filamu ya Nyota ya Jaha Bw. Emmanuel Mayunga
kilichofanyika chini ya Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Tanzania Bi.
Joyce Fisso, kulia ni Afisa Utamaduni Bodi ya Filamu Tanzania Bw. Simon
Peter.
|
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni