Picha na mpiga picha wetu
By Newsroom on April 22, 2016  
       
       
       
         
       
       
        
  Ofisa
 Mwelekezi wa  Programu ya kukuza Ajira zenye staha kwa Vijana Dar es 
Salaam (YEID) kupitia  Elimu ya Biashara na Ujasiriamali,Vituo vya 
Taarifa na Elimu ya kujiajiri. Bi. Emiliana Muchu akiwasilisha mada 
kuhusu mafanikio ya program  hiyo jana jijini Dar es Salaam wakati wa 
mkutano wa nne wa Kamati inayokutanisha wadau wa program hiyo.Programu 
hiyo inatekelezwa kwa ubia baina ya asasi za Tanzania Youth Vision 
Association (TYVA), Open Mind Tanzania(OPM) na Youth of Afrika (YOA).
Ofisa
 Mwelekezi wa  Programu ya kukuza Ajira zenye staha kwa Vijana Dar es 
Salaam (YEID) kupitia  Elimu ya Biashara na Ujasiriamali,Vituo vya 
Taarifa na Elimu ya kujiajiri. Bi. Emiliana Muchu akiwasilisha mada 
kuhusu mafanikio ya program  hiyo jana jijini Dar es Salaam wakati wa 
mkutano wa nne wa Kamati inayokutanisha wadau wa program hiyo.Programu 
hiyo inatekelezwa kwa ubia baina ya asasi za Tanzania Youth Vision 
Association (TYVA), Open Mind Tanzania(OPM) na Youth of Afrika (YOA). 
  Mratibu
 wa Programu ya kukuza Ajira zenye staha kwa Vijana Dar es 
Salaam,kupitia  Elimu ya Biashara na Ujasiriamali Bw.Bw. Dominic 
Ngunguru akiwasilisha mada kuhusu mafanikio ya program  hiyo  jana 
jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa nne wa Kamati inayokutanisha 
wadau wa program hiyo.Programu hiyo inatekelezwa kwa ubia baina ya asasi
 za Tanzania Youth Vision Association (TYVA), Open Mind Tanzania(OPM) na
 Youth of Afrika (YOA).
Mratibu
 wa Programu ya kukuza Ajira zenye staha kwa Vijana Dar es 
Salaam,kupitia  Elimu ya Biashara na Ujasiriamali Bw.Bw. Dominic 
Ngunguru akiwasilisha mada kuhusu mafanikio ya program  hiyo  jana 
jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa nne wa Kamati inayokutanisha 
wadau wa program hiyo.Programu hiyo inatekelezwa kwa ubia baina ya asasi
 za Tanzania Youth Vision Association (TYVA), Open Mind Tanzania(OPM) na
 Youth of Afrika (YOA). 
 Mratibu
 wa Programu ya Ukuzaji Ajira zenye Staha Kanda ya Afrika Mashariki na 
mwakilishi wa Taasisi ya FIC kutoka Nairobi Kenya, Bw.Festus Ouko 
akichangia mada wakati wa mkutano wa nne wa Kamati inayokutanisha wadau 
wa program hiyo jana jijini Dar es Salaam.Programu hiyo inatekelezwa kwa
 ubia baina ya asasi za Tanzania Youth Vision Association (TYVA), Open 
Mind Tanzania(OPM) na Youth of Afrika (YOA).
Mratibu
 wa Programu ya Ukuzaji Ajira zenye Staha Kanda ya Afrika Mashariki na 
mwakilishi wa Taasisi ya FIC kutoka Nairobi Kenya, Bw.Festus Ouko 
akichangia mada wakati wa mkutano wa nne wa Kamati inayokutanisha wadau 
wa program hiyo jana jijini Dar es Salaam.Programu hiyo inatekelezwa kwa
 ubia baina ya asasi za Tanzania Youth Vision Association (TYVA), Open 
Mind Tanzania(OPM) na Youth of Afrika (YOA). 
 Baadhi
 ya wajumbe wa Kamati kuhusu Programu ya kukuza Ajira zenye Staha kwa 
Vijana Dar es Salaam (YEID) wakifuatilia mada kuhusu mafanikio ya 
program  hiyo jana jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa nne wa 
Kamati inayokutanisha wadau wa program hiyo.Programu hiyo inatekelezwa 
kwa ubia baina ya asasi za Tanzania Youth Vision Association (TYVA), 
Open Mind Tanzania(OPM) na Youth of Afrika (YOA).
Baadhi
 ya wajumbe wa Kamati kuhusu Programu ya kukuza Ajira zenye Staha kwa 
Vijana Dar es Salaam (YEID) wakifuatilia mada kuhusu mafanikio ya 
program  hiyo jana jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa nne wa 
Kamati inayokutanisha wadau wa program hiyo.Programu hiyo inatekelezwa 
kwa ubia baina ya asasi za Tanzania Youth Vision Association (TYVA), 
Open Mind Tanzania(OPM) na Youth of Afrika (YOA). 
  
  Baadhi ya wajumbe wa Kamati kuhusu Programu ya kukuza Ajira zenye Staha
 kwa Vijana Dar es Salaam (YEID) wakifuatilia mada kuhusu mafanikio ya 
program  hiyo jana jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa nne wa 
Kamati inayokutanisha wadau wa program hiyo.Programu hiyo inatekelezwa 
kwa ubia baina ya asasi za Tanzania Youth Vision Association (TYVA), 
Open Mind Tanzania(OPM) na Youth of Afrika (YOA).
 Baadhi ya wajumbe wa Kamati kuhusu Programu ya kukuza Ajira zenye Staha
 kwa Vijana Dar es Salaam (YEID) wakifuatilia mada kuhusu mafanikio ya 
program  hiyo jana jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa nne wa 
Kamati inayokutanisha wadau wa program hiyo.Programu hiyo inatekelezwa 
kwa ubia baina ya asasi za Tanzania Youth Vision Association (TYVA), 
Open Mind Tanzania(OPM) na Youth of Afrika (YOA). Baadhi
 ya wajumbe wa Kamati kuhusu Programu ya kukuza Ajira zenye Staha kwa 
Vijana Dar es Salaam (YEID) wakiwa katika picha ya pamoja jana jijini 
Dar es Salaam mara baada ya kumaliza mkutano wa nne wa Kamati 
inayokutanisha wadau wa program hiyo.Programu hiyo inatekelezwa kwa ubia
 baina ya asasi za Tanzania Youth Vision Association (TYVA), Open Mind 
Tanzania(OPM) na Youth of Afrika (YOA).
Baadhi
 ya wajumbe wa Kamati kuhusu Programu ya kukuza Ajira zenye Staha kwa 
Vijana Dar es Salaam (YEID) wakiwa katika picha ya pamoja jana jijini 
Dar es Salaam mara baada ya kumaliza mkutano wa nne wa Kamati 
inayokutanisha wadau wa program hiyo.Programu hiyo inatekelezwa kwa ubia
 baina ya asasi za Tanzania Youth Vision Association (TYVA), Open Mind 
Tanzania(OPM) na Youth of Afrika (YOA). 
Pich
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni