MTANZANIA FRANK LYIMO APEPERUSHA VYEMA BENDERA YA TANZANIA MAREKANI, ASHINDA MR. VIRGINIA INTERNATIONAL UNIVERSITY
By Newsroom on April 22, 2016
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg_ibJuPwN7rF6ukk7AjtiF0PvIi9V0HSKNV2OpqC7RPSeuVntOaiRZzNWP_fO6hs7qZ39E6F1HI78oV0Whqe81EmY0ACiTs1YR1fpWCOUoTHaPpimY5jKyAzZ7LlyrlWRJknvgL2GJwmPi/s640/b31e28ded324b1edd6785b7300b7f31c.jpg)
Frank
Lyimo (mwenye vazi la kimasai) mmoja ya Watanzania wanaosoma katika chuo
cha kimataifa cha Virginia, ameshinda kwenye shindano la vivazi
lililofanyika siku ya Alhamisi April 21, 2016. Vazi lililompa taji hilo
ni vazi la kimasai.
Frank
Lyimo akiwa katika picha ya pamoja na miss District of Columbia mara tu
alipovikwa taji na kuwa Mr. Virginia International University.
Frank
Lyimo akiwa katika picha ya pamoja na wanachuo wenzake wa Kitanzania
wakipeperusha bendera ya Tanzania chuoni hapo katika kusherehekea
ushindi.
Frank Lyimo (kati) akiwa na washiriki wengine.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni