PICHA MBALIMBALI ZIKIMUONESHA WAZIRI MPINA, AKIZINDUA KAMPENI YA UTUNZAJI MAZINGIRA KWA KUPANDA MITI.
By Raymond Urio
Naibu Waziri wa Nchi ya Ofisi ya Makamu wa Rais, Luhaga Mpina, amefanya kampeni ya utunzaji wa Mazingira na akizindua jiwe la msingi, katika Eneo la Madale jijini Dar es salaam jana.
Kama ishara ya kumuunga mkono Mh Rais John Pombe Magufuli, katika kutaka Kutunza mazingira.












Hakuna maoni:
Chapisha Maoni