PICHA JINSI MADRID ILIVYOICHAPA JLA BARCELONA NDANI YA CAMP NOU
TIMU ya Barcelona
imeshindwa kutamba nyumbani kwake baada ya kuchapwa kwa mabao 2-1 na
wapinzani wake wakubwa Real Madrid katika mechi ya La Liga iliyopigwa
kwenye Uwanja wa Cam Nou mjini Barcelona.











Hakuna maoni:
Chapisha Maoni