BAADHI YA PICHA ZIKIONESHA VIONGOZI WAKISAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO CHA MSIBA HUO.
Na Raymond Urio, Dar
Mmbunge wa Jimbo la Mbozi kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Pascal Haonga, akisaini kitabu cha maombolezo ya Msiba wa aliekuwa Mmbunge wa Viti Maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Christina Lissu Mughwai,.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli,akisaini kitabu cha Maombolezo ya Marehemu Christina Lissu Mughwai, aliekuwa Mmbunge wa Viti Maalumu kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), leo katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam.
Mtoto wa Marehemu Christina Lissu Mughwai, akitoa taarifa fupi juu ya mama yake.










Hakuna maoni:
Chapisha Maoni