Jumapili, 10 Aprili 2016

MAJALIWA ASHIRIKI MAZISHI YA KAKA YAKE

index 
Waziri  Mkuu, Kassim Majaliwa  akiweka udongo kwenye kaburi la kaka yake, Selemani Selemani katika mazishi yaliyofanyika  kwenye kijiji cha Narungombe wilayani Ruanhwa Aprili 9, 2016.

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni