Alhamisi, 14 Aprili 2016

Balozi wa Ireland nchini Tanzania Mhe. Fionnuala Gilsenan amtembelea Waziri Mh. Angellah Kairuki

fin
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mh. Angellah Kairuki (Mb) (kulia) akizungumza na Balozi wa Ireland nchini Tanzania Mhe. Fionnuala Gilsenan alipotembelea ofisini kwake mapema jana

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni