ESPERANCE KUTUA LEO TAYARI KUIVAA AZAM FC
Kikosi
cha timu ya Esperance de Tunis ya Tunisia, inatarajia kuwasili nchini leo Ijumaa
kwa ndege binafsi ya kukodi kwa ajili ya mechi dhidi ya Azam FC.
Azam
inatarajia kuvaana na Esperance katika mchezo wa Kombe la Shirikisho
Afrika, mechi ambayo itachezwa kwenye Uwanja wa Chamazi, keshokutwa
Jumapili.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni