UJENZI WA UKUTA WA OCEAN ROAD KUANZA HIVI KARIBUNI
Bw. Bernard Odhuno Msimamizi wa 
Mradi  wa Ujenzi wa Miundombinu ya maji taka katika Manispaa za Ilala na
 Temeke (kwa niaba ya Ofisi ya Makamu wa Rais) akibadilishana Mkataba na
 Bw. Sheikh Bawazir  Mkurugenzi Mtendaji wa   Kampuni ya Dezo Civil 
Contractors iliyopewa kazi ya  Ujenzi wa Ukuta wa (Ocean Road na 
Kigamboni) na Miundombinu ya maji taka katika Manispaa za Ilala na 
Temeke.  
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa 
Rais Eng. Ngosi Mwihava  (wa kwanza kushoto) akishudia utiaji saini wa 
Mkataba wa ujenzi wa Ukuta wa (Ocean Road na Kigamboni) na Ujenzi wa 
Miundombinu ya maji taka katika Manispaa za Ilala na Temeke.  Ujenzi huo
 utafanywa na Kampuni ya Dezo Civil Contractors. Wengine katika picha ni
 wawakilishi wa Kampuni ya Dezo na Watendaji kutoka Ofisi ya Makamu wa 
Rais.
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini)
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni