Jumanne, 6 Septemba 2016

Rais Dk.Shein akutana na Viongozi wa Wizara mbali mbali


she1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na  Uongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kuhusu Programu ya  utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika kipindi cha mwaka 2015-2020  katika  ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo (wa pili kulia) Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi pia Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abduhamid Yahya Mzee ,[Picha na Ikulu.] 06/09/2016.
she2
Baadhi ya wakurugenzi wa Idara mbali mbali za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali wakiwa katika mkutano wa siku moja wa Wizara hiyo   kuhusu Programu ya  utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika kipindi cha mwaka 2015-2020 chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,uliofanyika leo katika  ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,Picha na Ikulu.] 06/09/2016.
she3
Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi pia Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abduhamid Yahya Mzee akifafanua jambo wakati wa  mkutano wa siku moja wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kuhusu Programu ya  utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika kipindi cha mwaka 2015-2020 chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,uliofanyika leo katika  ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja (kushoto) Wizara wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe,Riziki Pembe Juma,[Picha na Ikulu.] 06/09/2016.
she4
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na  Uongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kuhusu Programu ya  utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika kipindi cha mwaka 2015-2020  katika  ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo (wa pili kulia) Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi pia Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abduhamid Yahya Mzee ,[Picha na Ikulu.] 06/09/2016.
she5
Uongozi wa Wizara ya Fedha na Mipango wakiwa katika mkutano wa siku moja wa Wizara hiyo   kuhusu Programu ya  utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika kipindi cha mwaka 2015-2020 chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) uliofanyika leo katika  ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,Picha na Ikulu.] 06/09/2016.
she7
Baadhi ya Wakurugenzi wa Idara zilizo chini ya Wizara ya Fedha na Mipango wakiwa katika mkutano wa siku moja wa Wizara hiyo   kuhusu Programu ya  utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika kipindi cha mwaka 2015-2020 chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,uliofanyika leo katika  ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,Picha na Ikulu.] 06/09/2016.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni