MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU APOKEA BANGO LA KUPAMBANA NA RUSHWA
Mkurugenzi
 Mkuu wa  Ofisi ya Kupambana  na Kuzuia Rushwa, nchini, Bw. Valentino  
Mlowola (TAKUKURU) (kulia) akizungumza jambo  na  Mkurugenzi Msaidizi 
 wa Utawala, (kushoto) Bi .Wanyenda Kutta Mahakama ya Tanzania, kabla ya
 Makabidhiano hayo yalifanyika leo kwenye ofisi za Makao Makuu ya 
TAKUKURU.
Mkurugenzi
 Mkuu wa  Ofisi ya Kupambana  na Kuzuia Rushwa, nchini , Bw.Valentino  
Mlowola (TAKUKURU) ( kulia) akipokea Bango la Mahakama ya Tanzania 
kutoka kwa Mkurugenzi Msaidizi  Utawala(katikati) , Mahakama ya 
Tanzania, Wanyenda Kutta. Kushoto ni Afisa Utumishi, Mahakama ya 
Tanzania,Bi. Mwajuma Suru.Makabidhiano hayo yalifanyika  leo kwenye ofisi za Makao Makuu ya TAKUKURU.
PICHA NA MAHAKAMA YA TANZANIA
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni