Alhamisi, 1 Septemba 2016

MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU APOKEA BANGO LA KUPAMBANA NA RUSHWA


T1
Mkurugenzi Mkuu wa  Ofisi ya Kupambana  na Kuzuia Rushwa, nchini, Bw. Valentino  Mlowola (TAKUKURU) (kulia) akizungumza jambo  na  Mkurugenzi Msaidizi  wa Utawala, (kushoto) Bi .Wanyenda Kutta Mahakama ya Tanzania, kabla ya Makabidhiano hayo yalifanyika leo kwenye ofisi za Makao Makuu ya TAKUKURU.
T2
Mkurugenzi Mkuu wa  Ofisi ya Kupambana  na Kuzuia Rushwa, nchini , Bw.Valentino  Mlowola (TAKUKURU) ( kulia) akipokea Bango la Mahakama ya Tanzania kutoka kwa Mkurugenzi Msaidizi  Utawala(katikati) , Mahakama ya Tanzania, Wanyenda Kutta. Kushoto ni Afisa Utumishi, Mahakama ya Tanzania,Bi. Mwajuma Suru.Makabidhiano hayo yalifanyika  leo kwenye ofisi za Makao Makuu ya TAKUKURU.
PICHA NA MAHAKAMA YA TANZANIA

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni