Kampuni ya Tigo yakabidhi madawati 435 mkoani Tanga
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Pwani, Goodluck Charles akiongea na wanahabari na wanafunzi ya shule ya msingi Mabawa leo, kwenye hafla ya kukabidhi madawati. Kushoto kwake ni mkuu wa wilaya ya Tanga, Thobias Mwilapwa, Katibu tawala wilaya ya Tanga Bi. Faidha Salim na kushoto ni Meneja wa Tigo mkoani Tanga, Patricia Sempinge
|
Wanafunzi wa shule ya msingi Mabawa mkoani Tanga wakiwa wameketi kwenye madawati .waliyokabidhiwa na kampuni ya Tigo leo |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni