NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI AKAGUA MPAKA WA TANZANIA NA KENYA-NAMANGA
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya 
Nchi, Mhe, Hamad Masauni akisalimiana naAskari wa Uhamiaji katika kituo 
cha Uhamiaji cha Namanga, Mkoani Arusha wakati alipokwenda kukagua 
usalama wa mpaka huo ambapo aliwataka Askari hao kuendelea kufanya 
Oparesheni za mara kwa mara ili kuhakikisha hakuna wahamiaji haramu 
ambao watapita katika mpaka huo.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya 
Nchi, Mhe, Hamad Masauni akitoka kukagua mojawapo ya ofisi ya Uhamiaji 
katika mpaka wa Namanga, Mkoani Arusha wakati alipokwenda kukagua 
usalama wa mpaka huo ambapo aliwataka Askari wa Uhamiaji katika kituo 
cha Namanga kuendelea kufanya Oparesheni za mara kwa mara ili 
kuhakikisha hakuna wahamiaji haramu ambao watapita katika mpaka huo.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani 
ya Nchi, Mhe, Hamad Masauni akikagua mpaka wa Tanzania na Kenya 
(Namanga), Mkoani Arusha wakati alipokwenda kukagua usalama wa mpaka huo
 ambapo aliwataka Askari wa Uhamiaji katika kituo cha Namanga kuendelea 
kufanya Oparesheni za mara kwa mara ili kuhakikisha hakuna wahamiaji 
haramu ambao watapita katika mpaka huo.Katikati ni Mkuu wa kituo cha 
uhamiaji Namanga, Abdalah Katimba na Mkuu wa Uhamiaji Mkoa wa Arusha, 
Bw. Mwakipesile.
(Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani).
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni