Jumatano, 18 Machi 2015

NYALANDU AKABIDHIWA NDEGE

Wakiwa katika picha ya pamoja
Waziri wa Maliasili na Utalii Lazari Nyalandu (kushoto) akikabidhiwa ndege aina ya Micro Light Nyinja, 5H-HEL, na Mwenyekiti wa Kampuni ya Utalii ya Tanganyika Wildlife Safari, Eric Pasanisi, werngine ni Askari wa kikosi cha wanyamapori walio hudhuria makabidhiano hayo.



Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu akiwa na Rubani wa ndege aina ya Micro Light Nyinja, muda mfupi kabla ya kukabidhiwa ndege hiyo. Ndege hiyo ambayo imenunuliwa na kampuni ya Tanganyika Wildlife Safari ilikabidhwa kwa Waziri Nyalandu kwaajili ya kufuatilia majangili kwenye hifadhi za taifa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni