Waziri wa Maliasili na 
Utalii Lazari Nyalandu (kushoto) akikabidhiwa ndege aina ya Micro Light 
Nyinja, 5H-HEL, na Mwenyekiti wa Kampuni ya Utalii ya Tanganyika 
Wildlife Safari, Eric Pasanisi, werngine ni Askari wa kikosi cha 
wanyamapori walio hudhuria makabidhiano hayo.
Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu akiwa na 
Rubani wa ndege aina ya Micro Light Nyinja, muda mfupi kabla ya 
kukabidhiwa ndege hiyo. Ndege hiyo ambayo imenunuliwa na kampuni ya 
Tanganyika Wildlife Safari ilikabidhwa kwa Waziri Nyalandu kwaajili ya 
kufuatilia majangili kwenye hifadhi za taifa.
 





 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni