Jumamosi, 14 Machi 2015

MAKONDA WAPA SIKU SABA TMJ

Mkuu wa Wilaya ya KInondoni Paul Makonda akikagua chemba ambayo inatoa maji kutoka Hospitali ya TMJ.


 Mkuu wa Wilya ya Kinondoni Paul Makonda(katikati)na(kulia)ni Mkandarasi wa Del Monte (T)ltd na kushoto ni Mhandishi Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni Baraka Mkuya leo jijini Dar es Salaam.

 Akizungumza na Wajumbe wa Kata ya Bonde la Mpunga Wilaya ya Kinondoni.


 Hili ndilo kalawati linalopeleka maji baharini.

 Wakianglia moja ya chemba zilizoziba.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni