MWENYEKITI
Mtendaji wa Mayoda Economic Development Group, Agustino Matefu, ameishauri
serikali kushirikiana na sekta binafsi ili kukuza viwanda vidogovidogo na
kuongeza thamani ya bidhaa nch
ainiMwenyekiti Mtendaji wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Mayoda Economic Development Group, Augustino Matefu (kulia) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu kutoa wito kwa serikali kuunga mkono sekta binafsi ili kukuza uchumi kupitia Viwanda vidogovidogo kupitia wajisiriamali mbalimbali. Katikati ni Katibu Mkuu wa taasisi hiyo, Iddi Majuto na Mratibu wa taasisi hiyo Cleopas John. (Picha na Raymond Urio)
Matefua
alitoa ushauri huo jijini Dar es Salaam jana, alipozunguzma na waandishi wa
habari juu ya fursa mbalimbali zilizopo nchni.
“Ukiimarisha
viowanda vidogovidogo ndio mwanzo wa kukua kwa uchuni nchini, hivyo
kuwaunganisha watu katika vikundi na kurasimisha shughuli zao”. Alisema
Agustino.
Alisema
Mayoda imekuwa ikiwakutanisha wajasiriamali mbalimbali wakiwemo wavuvi,
wakulima, wafugaji, mama ntilie na bodaboda na kuwafundisha fursa zilizopo
nchini ikiwemo kuwasaidia kupata mikopo mbalimbali.
Mwenyekiti Mtendaji
wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Mayoda Economic Development Group, Augustino
Matefu (kulia) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana,
kuhusu kutoa wito kwa serikali kuunga mkono sekta binafsi ili kukuza uchumi kupitia
Viwanda vidogovidogo kupitia wajisiriamali mbalimbali. Katikati ni Katibu Mkuu
wa taasisi hiyo, Iddi Majuto na Mratibu wa taasisi hiyo Cleopas John. (Picha na
Raymond Urio)
“Mayoda
inatoa elimu na kuunda vikundi vyenye wataalamu
mbalimbali ili kuwasajili na kupata uwezashaji ambao huvisaidia baadae
kuwa viwanda vidogo vidogo, “ alisema.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni