Jumamosi, 17 Desemba 2016

MAJALIWA AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA USA RIVER

rive
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Ngaraseru- Usa River wilayani Arumeru Desemba 27, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
rix
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama ngoma ya kikundi cha sana cha Chuo Kikuu cha Makumira cha Arusha baada ya kuwasili kwenye  uwanja wa Ngaraseru – Usa River wilayani Arumeru kuhutubia mkutano wa hadhara Desemba 27, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
rev
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  kisalimiana na viongozi wa dini baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ngaraseru- Usa River wilayani Arumeru  kuhutubia mkutano wa hadhara.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni