Ijumaa, 2 Desemba 2016

MAJALIWA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA WA ARUSHA


waf
Baadhi ya wafanyabiashara wa Arusha wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao kwenye Ukumbi wa Simba katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha, Desemba  2, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
waf-1
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wafanyabiashara wa Arusha kwenye Kituo cha Mikutano cha Arusha (AICC) Desemba 2, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni